Tuesday 8 May 2018

Nyashinski now you know Lyrics

Video 
Nyashinski now you know
[Intro]
Mh.. mhhhhh.. mhhhhh..
Mh.. mhhhhh..
Mh.. mhhhhh.. mhhhhh..
Mh.. mhhhhh..
Mh.. mhhhhh.. mhhhhh..

[Verse One]
Huyo ni fala mgani anaweka ma mg'ari
Kwa list juu ya Ferrari
Ana Degree au journalist tu juu ana list (whoop)
Naskia wakiuliza ule boy wetu alienda wapi
Amepotea ka zile mbegu watu walipanda na Kanyari ye yee yeaah
Na naskia inasemekena
Ati rap zangu hukam na mkazo, na ile utamu ya reggea mama
Ma ordinari wananikubali
Na hata watiaji hawaezi kana
Kuna wale hupenda sauti yangu
Na iko wale husengenyana

[Hook]
Mama mama
Kijana wako amepotea, ni maskio tu ye anatoboa
Huku ndugu zake wakiendelea
Mwenyezi pekee anaeza muokoa, ki maisha amelegea
Ingawa hatuoni akitoboa, bado twazidi kumuombea amina


Mh.. mhhhhh.. mhhhhh..
Mh.. mhhhhh..
Mh.. mhhhhh.. mhhhhh..
Mh.. mhhhhh..
Mh.. mhhhhh.. mhhhhh..

[Verse Two]
Yeah.. sionangi haja ya ofisi

Sina njaa najua mpishi
Sijai fanya kazi ya ofisi
Sijai lala kaa sijadishi
Sijarap kitu kaa kutoka 06 ivi
Trust me, siezirust mimi
Ata niache mziki miaka hamsini
Nkirudi bado nawacrush nyinyi
Niko 1st mie, ndani ya party na nguo rasmi
Iimepigwa pasi
Hapo katikati napiga mic check
Juu niko party na niko night shift…
Nlikua busy sikua najificha
Clearly you rappers missed your teacher
Vitu mnaandika zinachoma picha nkiwish singewacha
Kuwafundisha, sauti naskia ni…

[Hook]

Why waste your time wishing you’re too proud my baby
Too proud to wish they had an easy way out
Let times get tough so they remember you are a blessing
When life is good they will forget to sayyy


Mh.. mhhhhh.. mhhhhh..
Mh.. mhhhhh..
Mh.. mhhhhh.. mhhhhh..
Mh.. mhhhhh..
Mh.. mhhhhh.. heeeyyyyy

[Verse Three]
Naulizwa mbona nliacha mziki
Ati nlikua mkali juu ya mic na namisiwa na mashabiki
Nliacha game mapema hata kabla reffa hajapiga firimbi
Bila kwaheri ati walishtukia tu ati kuna klepto mmoja haimbiVideo
Samahani nimepotea, shukrani kwa wale wamenifikiria
Hizo miaka zote nimekua missing, lakini iko kitu hamjaniambia
Kaa ningebaki bado, ungekua na taki ya kuskia nikiwaimbia
Ama by saiii mngenifanya vile mnafanya ma pioneer
Story kwa media ati nimechapa, niko juu ya madawa, nahangaika
Show ni ule jamaa aliimbaa ‘Ada Ada’ ebu kam u curtain raisie mnaija
It's not that serious, rap ni hobby
Bila mziki bado namanga
Ingekua career si ningekua nalia kuskia ati Naija Night Nairobi
Ambia new comer asijifeel sana
We ni mgeni siku ya kwanza tunakupenda (tunakupenda)
Ukikaakaa tutachoka na wewe ivo ndio ku uenda (ivo ndio ku enda)
Mi ni ule mgeni alikaa siku mbili tu
Sikukaa siku mingi nkuachie nafasi ya kuchoka na mimi


[Outro]
So now you knowwwwwww
Shinsky
So now you knowwwwwww
Beat ya keggah
So now you knowwwwwww

Heeeyyyyy
Mhhhhhhhhh heeeyyyy
Uuuuuuhhhhhhhhhhhh

Nyashinski Bebi Bebi lyrics

Video
Nyashinski Bebi Bebi
(intro)

Only you babe
Only you babe
You're my only one
My only one

Some say a fool never change
His mind well maybe
Baby am a fool for you
Mapenzi kipofu ukipenda maovu
Huoni ooh love is blind
Never seemed so true
When I'm broke natumianga bro
Please call me akipiga naomba dooh
Mbona kuna message inajitumanga send me money
Tukate long story short yoyoo
Vumilia na mimi
Please don't leave me
Don't let the money fool you
Sponsors just wanna use you
Namwambia mtoto wa mama hasiharibikeee
Ananishow ni biasharaa tuu
Na siwezi mshibishaa na pangangaa tuuu
Na mwezi ukiisha sina ujanja too
Na renti ikibishwa huanga blunder wowoo...

Bebi, bebi
Kuwa nami wakati sina
Leo sina kitu, kesho ntafanikiwa, mmm...
Na nikibarikiwa
Ahadi yangu ni sitasahau mahali nimetoka na weh
Bebi
Kuwa nami wakati sina
Leo sina kitu, kesho ntafanikiwa, mmm...
Na nikibarikiwa
Ahadi yangu ni sitasahau mahali nimetoka na weh

Only you babe
Only you babe
You're my only one
My only one

Girl I wanna, girl I wanna
Girl I wanna take you to my mama
Show her you're the one for me
I'll never ever, never ever leave you believe
Me when I say you will forever be my queen
Yule nala naye kwa dhiki
Ntala naye kwa faraja
Ahadi yangu ndo hiyo
Kama pamoja tumelia, tutacheka pamojaa
Wou vumilia na mimi
Please don't leave me
Don't let the money fool you
Sponsors just wanna use you
Mtoto wa mama usiharibike eeii yeah

Bebi, bebi
Kuwa nami wakati sina
Leo sina kitu, kesho ntafanikiwa, mmm...
Na nikibarikiwa
Ahadi yangu ni sitasahau mahali nimetoka na weh
Bebi
Kuwa nami wakati sina
Leo sina kitu, kesho ntafanikiwa, mmm...
Na nikibarikiwa
Ahadi yangu ni sitasahau mahali nimetoka na wewewewe...

Only you babe
Only you babe
My only one

Okay sa naicheza kabubu
Baby no more talk just do
We mtamu kama buyu
Zaidi ya kwa chini upo juu
Forever be my only one
Tukiachana itaniuma na
Najua kuna nigga anangoja nichome
Aruke ndani ka supersub
Usiache ihappen
Ishikilie ka siri
Nikimake it in life then
Nikushikilie pia mimi

You make me, ooh babe don't let me go
Stay beside me
You make me complete, how will ma heart beat
Without you?

Bebi, bebi
Kuwa nami wakati sina
Leo sina kitu, kesho ntafanikiwa, mmm...
Na nikibarikiwa
Ahadi yangu ni sitasahau mahali nimetoka na weh
Bebi
Kuwa nami wakati sina
Leo sina kitu, kesho ntafanikiwa, mmm...
Na nikibarikiwa
Ahadi yangu ni sitasahau mahali nimetoka na wewewewe...